Free Mafundisho ya Yesu Mlimani

Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu.
Inicio chevron_right Libros, Música y Películas chevron_right E-books
my_location Ubicación:
Todo el País
visibility Visto:
168 veces
person Responsable:
Editorial Gabriele
phone Teléfono:
WhatsApp 004915118838742
schedule Actualizado el:
24 ene 2024
thumb_up_alt Compartir:
 
 
photo Galería

Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu «Hili ndilo Neno Langu»): Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu. Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli. «Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!» Neno «maskini» halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho. Neno «maskini» lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia mali… Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri «Omba na tenda kazi». «Heri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.» Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadamu… 16 pages Free https://gabriele-publishing.com/


comment Preguntas y Comentarios